Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 5:5 - Swahili Revised Union Version

5 Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa mgonjwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Mtu mmoja aliyekuwa ameugua kwa miaka thelathini na nane alikuwa hapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Mtu mmoja alikuwako huko ambaye alikuwa ameugua kwa miaka thelathini na minane.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa mgonjwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwuliza babaye, Amepatwa na haya tangu lini? Akasema, Tangu utoto.


Na huyu mwanamke, aliye wa uzao wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga miaka kumi na minane hii, haikupasa afunguliwe kifungo hiki siku ya sabato?


Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu yeyote,


Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.


Kwa maana kuna wakati ambapo malaika hushuka, akaingia katika lile bwawa, akayatibua maji. Basi yeye aliyeingia wa kwanza baada ya maji kutibuliwa, akapona ugonjwa wote uliokuwa umempata.]


Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa katika hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?


Na alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa.


lakini jinsi aonavyo sasa hatujui; wala hatujui ni nani aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima; atajisemea mwenyewe.


Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja, asiyeweza kutumia miguu yake na aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa kwake.


Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.


maana umri wake yule mtu aliyefanyiwa ishara hii ya kuponya ulipita miaka arubaini.


Akamwona mtu mmoja huko, jina lake Ainea, mtu huyo alikuwa amelala kitandani miaka minane; maana alikuwa amepooza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo