Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:8 - Swahili Revised Union Version

Pandeni ninyi kwenda kula sikukuu; mimi sipandi bado kwenda kula sikukuu hii, kwa kuwa wakati wangu haujatimia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi nendeni kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu haujawadia.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi nendeni kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu haujawadia.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pandeni ninyi kwenda kula sikukuu; mimi sipandi bado kwenda kula sikukuu hii, kwa kuwa wakati wangu haujatimia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie, Mwalimu asema, Majira yangu ni karibu; kwako nitafanya Pasaka pamoja na wanafunzi wangu.


Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.


Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyeunyosha mkono wake ili kumshika, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Basi Yesu akawaambia, Wakati wangu haujafika bado; ila wakati wenu sikuzote upo.


Naye alipokwisha kuwaambia hayo, alibaki huko Galilaya.


Maneno hayo aliyasema alipokuwa akifundisha hekaluni, katika chumba cha hazina; wala hakuna mtu aliyemkamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Naye alipokuwa akisema hayo, wengi walimwamini.