Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:8 - Swahili Revised Union Version

8 Pandeni ninyi kwenda kula sikukuu; mimi sipandi bado kwenda kula sikukuu hii, kwa kuwa wakati wangu haujatimia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ninyi nendeni kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu haujawadia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ninyi nendeni kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu haujawadia.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Pandeni ninyi kwenda kula sikukuu; mimi sipandi bado kwenda kula sikukuu hii, kwa kuwa wakati wangu haujatimia.

Tazama sura Nakili




Yohana 7:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie, Mwalimu asema, Majira yangu ni karibu; kwako nitafanya Pasaka pamoja na wanafunzi wangu.


Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.


Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyeunyosha mkono wake ili kumshika, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Basi Yesu akawaambia, Wakati wangu haujafika bado; ila wakati wenu sikuzote upo.


Naye alipokwisha kuwaambia hayo, alibaki huko Galilaya.


Maneno hayo aliyasema alipokuwa akifundisha hekaluni, katika chumba cha hazina; wala hakuna mtu aliyemkamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Naye alipokuwa akisema hayo, wengi walimwamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo