Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:6 - Swahili Revised Union Version

Basi Yesu akawaambia, Wakati wangu haujafika bado; ila wakati wenu sikuzote upo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akawaambia, “Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu nyinyi kila wakati unafaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akawaambia, “Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu nyinyi kila wakati unafaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akawaambia, “Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu nyinyi kila wakati unafaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawaambia, “Wakati wangu bado haujawadia, lakini wakati wenu upo siku zote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawaambia, “Wakati wangu bado haujawadia, lakini wakati wenu upo siku zote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yesu akawaambia, Wakati wangu haujafika bado; ila wakati wenu siku zote upo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:6
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe mwenyewe utasimama, Na kuirehemu Sayuni, Kwa maana ndio wakati wa kuihurumia, Naam, majira yaliyoamriwa yamewadia.


Akasema, Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie, Mwalimu asema, Majira yangu ni karibu; kwako nitafanya Pasaka pamoja na wanafunzi wangu.


Basi, kabla ya sikukuu ya Pasaka, Yesu, huku akijua ya kuwa saa yake imefika, atakayotoka katika ulimwengu kwenda kwa Baba, naye akiwa amewapenda watu wake katika ulimwengu, aliwapenda upeo.


Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;


Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.


Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyeunyosha mkono wake ili kumshika, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Pandeni ninyi kwenda kula sikukuu; mimi sipandi bado kwenda kula sikukuu hii, kwa kuwa wakati wangu haujatimia.


Maneno hayo aliyasema alipokuwa akifundisha hekaluni, katika chumba cha hazina; wala hakuna mtu aliyemkamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Akawaambia, Si kazi yenu kujua nyakati wala majira, Baba aliyoyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.