Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 6:18 - Swahili Revised Union Version

Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 6:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maana alisema, akavumisha upepo wa dhoruba, Ukayainua juu mawimbi ya bahari.


Ndiye apandishaye mvuke toka miisho ya nchi; Huifanyia mvua umeme; Hutoa upepo katika ghala zake.


Na ile mashua imekwisha kufika katikati ya bahari, inapigwa sana na mawimbi; maana upepo ulikuwa unawakabili.


wakapanda katika mashua, wakaanza kuivuka bahari kwenda Kapernaumu. Nako kumekwisha kuwa giza, wala Yesu hajawafikia.


Basi wakavuta makasia kadiri ya maili tatu nne, wakamwona Yesu anakwenda juu ya bahari na kuikaribia mashua; wakaogopa.