Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:18 - Swahili Revised Union Version

18 Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maana alisema, akavumisha upepo wa dhoruba, Ukayainua juu mawimbi ya bahari.


Ndiye apandishaye mvuke toka miisho ya nchi; Huifanyia mvua umeme; Hutoa upepo katika ghala zake.


Na ile mashua imekwisha kufika katikati ya bahari, inapigwa sana na mawimbi; maana upepo ulikuwa unawakabili.


wakapanda katika mashua, wakaanza kuivuka bahari kwenda Kapernaumu. Nako kumekwisha kuwa giza, wala Yesu hajawafikia.


Basi wakavuta makasia kadiri ya maili tatu nne, wakamwona Yesu anakwenda juu ya bahari na kuikaribia mashua; wakaogopa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo