Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:41 - Swahili Revised Union Version

Watu wengi zaidi wakaamini kwa sababu ya neno lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wengi zaidi waliamini kwa sababu ya ujumbe wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wengi zaidi waliamini kwa sababu ya ujumbe wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wengi zaidi waliamini kwa sababu ya ujumbe wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa sababu ya neno lake, watu wengi wakaamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa sababu ya neno lake, watu wengi wakaamini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wengi zaidi wakaamini kwa sababu ya neno lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:41
13 Marejeleo ya Msalaba  

Fimbo ya enzi haitaondoka katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya miguu yake, Hata atakapokuja Yeye, mwenye milki, Ambaye mataifa watamtii.


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.


Basi wale Wasamaria walipomwendea, walimsihi akae kwao; naye akakaa huko siku mbili.


Wakamwambia yule mwanamke, Sasa tunaamini, wala si kwa sababu ya maneno yako tu; maana sisi tumesikia wenyewe, tena tunajua ya kuwa hakika huyu ndiye Mwokozi wa ulimwengu.


Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.


Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


Basi, wakisafirishwa na kanisa, wakapita kati ya nchi ya Foinike na Samaria, wakitangaza habari za kuongoka kwao Mataifa; wakawafurahisha ndugu sana.


Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri Habari Njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake.


Nao walipokwisha kushuhudia na kulihubiri neno la Bwana wakarudi Yerusalemu, wakaihubiri Injili katika vijiji vingi vya Wasamaria.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.