Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:30 - Swahili Revised Union Version

Basi wakatoka mjini, wakamwendea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi wakamiminika watu kutoka mjini, wakamwendea Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi wakamiminika watu kutoka mjini wakamwendea Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wakatoka mjini, wakamwendea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:30
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani hawa warukao kama wingu, Na kama njiwa waendao madirishani kwao?


Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.


Njoni, mtazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! Inawezekana kuwa huyu ndiye Kristo?


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.


Na katika mji ule Wasamaria wengi walimwamini kwa sababu ya neno la yule mwanamke, aliyeshuhudia kwamba, Aliniambia mambo yote niliyoyatenda.


Mara nikatuma watu kwako, nawe umefanya vyema kuja. Basi sasa sisi sote tupo hapa mbele za Mungu, tupate kuyasikiliza maneno yote uliyoamriwa na Bwana.


Na walipokuwa wakitoka, wakawasihi waambiwe maneno haya sabato ya pili.


Basi ijulikane kwenu ya kwamba wokovu huu wa Mungu umepelekwa kwa Mataifa, nao watasikia! [


Lakini sheria iliingia ili kosa lile liwe kubwa sana; na dhambi ilipozidi, neema ilikuwa nyingi zaidi;