Matendo 13:42 - Swahili Revised Union Version42 Na walipokuwa wakitoka, wakawasihi waambiwe maneno haya sabato ya pili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema42 Paulo na Barnaba walipokuwa wanatoka katika lile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya Sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND42 Paulo na Barnaba walipokuwa wanatoka katika lile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya Sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza42 Paulo na Barnaba walipokuwa wanatoka katika lile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya Sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu42 Paulo na Barnaba walipokuwa wakitoka nje ya sinagogi, watu wakawaomba wazungumze tena mambo hayo Sabato iliyofuata. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu42 Paulo na Barnaba walipokuwa wakitoka nje ya sinagogi, watu wakawaomba wazungumze tena mambo hayo Sabato iliyofuata. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI42 Na walipokuwa wakitoka, wakawasihi waambiwe maneno haya sabato ya pili. Tazama sura |