Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 60:8 - Swahili Revised Union Version

8 Ni nani hawa warukao kama wingu, Na kama njiwa waendao madirishani kwao?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Nani hao wanaopepea kama mawingu, kama njiwa wanaoruka kwenda viotani mwao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Nani hao wanaopepea kama mawingu, kama njiwa wanaoruka kwenda viotani mwao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Nani hao wanaopepea kama mawingu, kama njiwa wanaoruka kwenda viotani mwao?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Ni nani hawa warukao kama mawingu, kama hua kuelekea kwenye viota vyao?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Ni nani hawa warukao kama mawingu, kama hua kuelekea kwenye viota vyao?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Ni nani hawa warukao kama wingu, Na kama njiwa waendao madirishani kwao?

Tazama sura Nakili




Isaya 60:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni Mungu; hapana mwingine.


Ndipo utasema moyoni mwako, Ni nani aliyenizalia watoto hawa, na mimi nimefiwa na watoto wangu, nami niko peke yangu, nimehamishwa, ninatangatanga huko na huku? Tena ni nani aliyewalea hawa? Tazama, niliachwa peke yangu; hawa je! Walikuwa wapi?


Inua macho yako, utazame pande zote; Wote wanakusanyana; wanakujia wewe; Wana wako watakuja kutoka mbali. Na binti zako watabebwa nyongani.


Watakuja wakitetemeka kama shomoro, toka Misri, na kama hua, toka nchi ya Ashuru; nami nitawakalisha katika nyumba zao, asema BWANA.


Nao watakuja watu toka mashariki na magharibi, na toka kaskazini na kusini, nao wataketi chakulani katika ufalme wa Mungu.


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,


Baada ya hayo nikaona, na tazama, mkutano mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele za Mwana-kondoo, wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya mitende mikononi mwao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo