Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:19 - Swahili Revised Union Version

Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo Mwanamke akamwambia, “Bwana, naona ya kuwa wewe u nabii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo Mwanamke akamwambia, “Bwana, naona ya kuwa wewe u nabii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo Mwanamke akamwambia, “Bwana, naona ya kuwa wewe u nabii.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule mwanamke akasema, “Bwana, naona bila shaka wewe ni nabii.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule mwanamke akasema, “Bwana, naona bila shaka wewe ni nabii.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:19
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Je! Moyo wangu haukuenda na wewe, hapo alipogeuka yule mtu katika gari ili akulaki? Je! Huu ndio wakati wa kupokea fedha, na kupokea mavazi, na mashamba ya mizeituni, na mizabibu, na kondoo, na ng'ombe, na watumwa, na wajakazi?


Mmojawapo wa watumishi wake akasema, La, bwana wangu, mfalme; lakini Elisha, yule nabii aliye katika Israeli, humwambia mfalme wa Israeli maneno uyanenayo katika chumba chako cha kulala.


Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.


Akawauliza, Mambo gani? Wakamwambia, Mambo ya Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu nabii, mwenye uwezo katika kutenda na kunena mbele za Mungu na watu wote;


Hofu ikawashika wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii mkuu ametokea kwetu; na, Mungu amewaangalia watu wake.


Basi, yule Farisayo aliyemwalika alipoona vile, alisema moyoni mwake, Mtu huyu kama angekuwa nabii, angemtambua mwanamke huyu amgusaye, ni nani, naye ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi.


kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako; hapo umesema kweli.


Njoni, mtazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! Inawezekana kuwa huyu ndiye Kristo?


Basi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni nabii yule ajaye ulimwenguni.


Basi wengine katika mkutano walipoyasikia maneno hayo, walisema, Hakika huyu ndiye nabii yule.


Basi wakamwambia yule kipofu mara ya pili, Wewe wasemaje kuhusu habari zake kwa vile alivyokufumbua macho? Akasema, Ni nabii.


BWANA, Mungu wako, atakupa nabii miongoni mwa ndugu zako kama nilivyo mimi; msikilizeni yeye.