Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:40 - Swahili Revised Union Version

40 Basi wengine katika mkutano walipoyasikia maneno hayo, walisema, Hakika huyu ndiye nabii yule.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Waliposikia maneno hayo, baadhi ya watu miongoni mwa umati ule wakasema, “Hakika huyu ndiye yule Nabii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Waliposikia maneno hayo, baadhi ya watu miongoni mwa ule umati wakasema, “Hakika huyu ndiye yule Nabii.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Basi wengine katika mkutano walipoyasikia maneno hayo, walisema, Hakika huyu ndiye nabii yule.

Tazama sura Nakili




Yohana 7:40
6 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.


Wakamwuliza, Ni nini basi? U Eliya wewe? Akasema, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La.


Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii!


Basi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni nabii yule ajaye ulimwenguni.


Kukawa na manung'uniko mengi katika makutano juu yake. Wengine wakasema, Ni mtu mwema. Na wengine wakasema, Sivyo; bali anawadanganya makutano.


Alipokwisha kusema hayo, Wayahudi wakaenda zao, wakiulizana mengi wao kwa wao.]


Tufuate:

Matangazo


Matangazo