Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 3:9 - Swahili Revised Union Version

Nikodemo akajibu, akamwambia, Mambo haya yawezaje kuwa?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikodemo akamuuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nikodemo akamuuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nikodemo akajibu, akamwambia, Mambo haya yawezaje kuwa?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 3:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing'aayo, Ikizidi kung'aa hata mchana mkamilifu.


Nitawaleta vipofu kwa njia wasiyoijua; katika mapito wasiyoyajua nitawaongoza; nitafanya giza kuwa nuru mbele yao; na mahali palipopotoka kuwa pamenyoka. Haya nitayatenda, wala sitawaacha.


Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume?


Yesu akajibu, akamwambia, Je! Wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?


Nikodemo akamwambia, Awezaje mtu kuzaliwa, akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa?


Upepo huvuma upendako, na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho.


Basi Wayahudi walishindana wao kwa wao wakisema, Awezaje mtu huyu kutupa sisi mwili wake ili tuule?


Basi watu wengi miongoni mwa wanafunzi wake waliposikia, walisema, Neno hili ni gumu, ni nani awezaye kulisikia?