Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:34 - Swahili Revised Union Version

34 Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Mariamu akamuuliza huyo malaika, “Maadamu mimi ni bikira, jambo hili litawezekanaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Mariamu akamuuliza huyo malaika, “Maadamu mimi ni bikira, jambo hili litawezekanaje?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume?

Tazama sura Nakili




Luka 1:34
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.


Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu zake Aliye Juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.


Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo