Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 3:24 - Swahili Revised Union Version

Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

(Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

(Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

(Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

(Hii ilikuwa kabla Yahya hajafungwa gerezani.)

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

(Hii ilikuwa kabla Yahya hajatiwa gerezani).

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 3:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodia, mke wa Filipo nduguye.


Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;


Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu, akamkamata Yohana, akamfunga gerezani, kwa ajili ya Herodia, mkewe Filipo, ndugu yake, kwa kuwa amemwoa;


Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu huko kulikuwa na maji tele; na watu wakamwendea, wakabatizwa.