Yohana 21:13 - Swahili Revised Union Version Yesu akaenda akautwaa mkate, akawapa, na samaki vivyo hivyo. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Yesu akaja, akatwaa mkate, akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki. Biblia Habari Njema - BHND Yesu akaja, akatwaa mkate, akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Yesu akaja, akatwaa mkate, akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki. Neno: Bibilia Takatifu Isa akaja, akachukua ule mkate, akawapa, na vivyo hivyo akawagawia wale samaki. Neno: Maandiko Matakatifu Basi Isa akaja, akachukua ule mkate, akawapa na vivyo hivyo akawagawia pia wale samaki. BIBLIA KISWAHILI Yesu akaenda akautwaa mkate, akawapa, na samaki vivyo hivyo. |
Basi waliposhuka pwani, wakaona huko moto wa makaa, na juu yake pametiwa samaki, na mkate.
Basi Yesu akaitwaa ile mikate, akashukuru, akawagawia walioketi; na kadhalika katika wale samaki kwa kadiri walivyotaka.
Yupo hapa mtoto, ana mikate mitano ya shayiri na samaki wawili, lakini hivi ni nini kwa watu wengi kama hawa?
si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliokuwa wamekwisha kuchaguliwa na Mungu, ndio sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.