Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 21:10 - Swahili Revised Union Version

10 Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mliowavua sasa hivi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Isa akawaambia, “Leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Isa akawaambia, “Leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mliowavua sasa hivi.

Tazama sura Nakili




Yohana 21:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia, Mna chakula chochote hapa?


Basi Simoni Petro akapanda katika mashua, akalivuta jarife pwani, limejaa samaki wakubwa, mia hamsini na watatu; na ijapokuwa ni wengi namna hiyo, jarife halikupasuka.


Yesu akaenda akautwaa mkate, akawapa, na samaki vivyo hivyo.


Basi waliposhuka pwani, wakaona huko moto wa makaa, na juu yake pametiwa samaki, na mkate.


Basi Yesu akaitwaa ile mikate, akashukuru, akawagawia walioketi; na kadhalika katika wale samaki kwa kadiri walivyotaka.


Yupo hapa mtoto, ana mikate mitano ya shayiri na samaki wawili, lakini hivi ni nini kwa watu wengi kama hawa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo