Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 21:9 - Swahili Revised Union Version

9 Basi waliposhuka pwani, wakaona huko moto wa makaa, na juu yake pametiwa samaki, na mkate.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Walipofika nchi kavu waliona moto wa makaa umewashwa na juu yake pamewekwa samaki na mkate.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Walipofika nchi kavu waliona moto wa makaa umewashwa na juu yake pamewekwa samaki na mkate.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Walipofika nchi kavu waliona moto wa makaa umewashwa na juu yake pamewekwa samaki na mkate.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Walipofika ufuoni, wakaona moto wa makaa na samaki wakiokwa juu yake, na mikate.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Walipofika ufuoni, wakaona moto wa makaa na samaki wakiokwa juu yake na mikate.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Basi waliposhuka pwani, wakaona huko moto wa makaa, na juu yake pametiwa samaki, na mkate.

Tazama sura Nakili




Yohana 21:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.


nami nikiwaaga waende zao nyumbani kwao wakiwa na njaa, watazimia njiani; na baadhi yao wametoka mbali.


Na wale watumwa na watumishi walikuwa wakisimama, wamewasha moto wa makaa; maana kulikuwa na baridi; wakawa wakiota moto. Petro naye alikuwapo pamoja nao, anaota moto.


Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mliowavua sasa hivi.


Yesu akaenda akautwaa mkate, akawapa, na samaki vivyo hivyo.


Na hao wanafunzi wengine wakaja katika mashua; maana hawakuwa mbali na nchi kavu; ila yapata dhiraa mia mbili; huku wakilikokota lile jarife lenye samaki.


Basi Yesu akaitwaa ile mikate, akashukuru, akawagawia walioketi; na kadhalika katika wale samaki kwa kadiri walivyotaka.


Yupo hapa mtoto, ana mikate mitano ya shayiri na samaki wawili, lakini hivi ni nini kwa watu wengi kama hawa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo