Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 21:13 - Swahili Revised Union Version

13 Yesu akaenda akautwaa mkate, akawapa, na samaki vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Yesu akaja, akatwaa mkate, akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Yesu akaja, akatwaa mkate, akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Yesu akaja, akatwaa mkate, akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Isa akaja, akachukua ule mkate, akawapa, na vivyo hivyo akawagawia wale samaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Basi Isa akaja, akachukua ule mkate, akawapa na vivyo hivyo akawagawia pia wale samaki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Yesu akaenda akautwaa mkate, akawapa, na samaki vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili




Yohana 21:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mliowavua sasa hivi.


Basi waliposhuka pwani, wakaona huko moto wa makaa, na juu yake pametiwa samaki, na mkate.


Basi Yesu akaitwaa ile mikate, akashukuru, akawagawia walioketi; na kadhalika katika wale samaki kwa kadiri walivyotaka.


Yupo hapa mtoto, ana mikate mitano ya shayiri na samaki wawili, lakini hivi ni nini kwa watu wengi kama hawa?


si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliokuwa wamekwisha kuchaguliwa na Mungu, ndio sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo