Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 20:5 - Swahili Revised Union Version

Akainama na kuchungulia, akaona vitambaa vya sanda vimelala; lakini hakuingia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akainama na kuchungulia mle kaburini, akaona vile vitambaa vya kitani, lakini hakuingia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipofika, akainama na kuchungulia mle kaburini, akaona vile vitambaa vya kitani mle ndani, lakini hakuingia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akainama na kuchungulia, akaona vitambaa vya sanda vimelala; lakini hakuingia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 20:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka nje yule aliyekufa, akiwa amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.


Basi wakautwaa mwili wake Yesu, wakaufunga sanda ya kitani pamoja na yale manukato, kama ilivyo desturi ya Wayahudi katika kuzika.


Lakini Mariamu alikuwa akisimama karibu na kaburi, nje yake, analia. Wakati alipokuwa akilia, aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi.


Wakaenda mbio wote wawili; na yule mwanafunzi mwingine akaenda mbio upesi kuliko Petro, akawa wa kwanza kufika kaburini.


Basi akaja na Simoni Petro, akaingia ndani ya kaburi; akavitazama vitambaa vilivyolala,