Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 20:6 - Swahili Revised Union Version

6 Basi akaja na Simoni Petro, akaingia ndani ya kaburi; akavitazama vitambaa vilivyolala,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Ndipo Simoni Petro akaja akimfuata nyuma, akaingia ndani ya kaburi. Naye akaona vile vitambaa vya ile sanda vikiwa pale chini,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Ndipo Simoni Petro akaja, akimfuata nyuma akaenda moja kwa moja hadi ndani ya kaburi. Naye akaona vile vitambaa vya ile sanda vikiwa pale chini

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Basi akaja na Simoni Petro, akaingia ndani ya kaburi; akavitazama vitambaa vilivyolala,

Tazama sura Nakili




Yohana 20:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi yule kijakazi, aliyekuwa mlinda mlango, akamwambia Petro, Wewe nawe, je! Hu mwanafunzi mmojawapo wa mtu huyu? Naye akasema, Si mimi.


Akainama na kuchungulia, akaona vitambaa vya sanda vimelala; lakini hakuingia.


na ile leso iliyokuwako kichwani pake; haikulala pamoja na vitambaa, bali imezongwazongwa mbali mahali peke yake.


Basi yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda akamwambia Petro, Ndiye Bwana. Naye Simoni Petro, aliposikia ya kwamba ni Bwana, akajifunga vazi lake, (maana alikuwa uchi), akajitupa baharini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo