Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 20:11 - Swahili Revised Union Version

11 Lakini Mariamu alikuwa akisimama karibu na kaburi, nje yake, analia. Wakati alipokuwa akilia, aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Lakini Mariamu Magdalene akasimama nje ya kaburi akilia. Alipokuwa akilia, akainama kuchungulia mle kaburini,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Lakini Maria Magdalene akasimama nje ya kaburi akilia. Alipokuwa akilia, akainama, kuchungulia mle kaburini,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Lakini Mariamu alikuwa akisimama karibu na kaburi, nje yake, analia. Wakati alipokuwa akilia, aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi.

Tazama sura Nakili




Yohana 20:11
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaingia kaburini wakaona kijana akiwa ameketi upande wa kulia, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu.


Akainama na kuchungulia, akaona vitambaa vya sanda vimelala; lakini hakuingia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo