Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 2:7 - Swahili Revised Union Version

Yesu akawaambia, Jalizeni mabalasi maji. Nao wakayajaliza mpaka juu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawaambia, “Ijazeni mitungi hiyo maji.” Nao wakaijaza mpaka juu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawaambia, “Ijazeni mitungi hiyo maji.” Nao wakaijaza mpaka juu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawaambia, “Ijazeni mitungi hiyo maji.” Nao wakaijaza mpaka juu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawaambia wale watumishi, “Ijazeni hiyo mitungi maji.” Nao wakaijaza ile mitungi hadi juu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawaambia wale watumishi, “Ijazeni hiyo mitungi maji.” Nao wakaijaza ile mitungi mpaka juu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akawaambia, Jazeni mabalasi maji. Nao wakayajaza mpaka juu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 2:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Eliya akamwambia, Usiogope; nenda ukafanye kama ulivyosema; lakini unifanyie kwanza mkate mdogo ukaniletee; kisha ujitengenezee na mwanao.


Hata divai ilipowaishia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.


Mamaye akawaambia watumishi, Lolote atakalowaambia, fanyeni.


Basi kulikuwako huko mabalasi sita ya mawe, nayo yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi ya kunawa, kila moja lapata kadiri ya nzio mbili tatu.


Akawaambia, Sasa tekeni, mkampelekee mkuu wa sherehe. Wakapeleka.