Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 18:21 - Swahili Revised Union Version

Ya nini kuniuliza mimi? Waulize wale waliosikia ni nini niliyowaambia; wao wanajua niliyoyanena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale waliosikia yale niliyowaambia. Wanajua niliyoyasema.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ya nini kuniuliza mimi? Waulize wale waliosikia ni nini niliyowaambia; wao wanajua niliyoyanena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 18:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kama wewe ndiwe Kristo, tuambie. Akawaambia, Nikiwaambia, hamtasadikia.


Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu waziwazi; sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi wote; wala mimi sikusema neno lolote kwa siri.


Basi aliposema hayo, mtumishi mmojawapo aliyesimama karibu alimpiga Yesu kofi akisema, Wamjibu hivi Kuhani Mkuu?