Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 18:21 - Swahili Revised Union Version

21 Ya nini kuniuliza mimi? Waulize wale waliosikia ni nini niliyowaambia; wao wanajua niliyoyanena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale waliosikia yale niliyowaambia. Wanajua niliyoyasema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Ya nini kuniuliza mimi? Waulize wale waliosikia ni nini niliyowaambia; wao wanajua niliyoyanena.

Tazama sura Nakili




Yohana 18:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kama wewe ndiwe Kristo, tuambie. Akawaambia, Nikiwaambia, hamtasadikia.


Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu waziwazi; sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi wote; wala mimi sikusema neno lolote kwa siri.


Basi aliposema hayo, mtumishi mmojawapo aliyesimama karibu alimpiga Yesu kofi akisema, Wamjibu hivi Kuhani Mkuu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo