Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 16:9 - Swahili Revised Union Version

Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 16:9
18 Marejeleo ya Msalaba  

Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.


Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.


Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa.


ingawa hapo awali nilikuwa mtukanaji, mwenye kuudhi watu, mwenye ujeuri, lakini nilipata rehema kwa kuwa nilifanya hivyo kwa ujinga, na kwa kutokuwa na imani.


Hadharini, ndugu zangu, usiwepo katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutoamini, ujitengao na Mungu aliye hai.