Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 16:9 - Swahili Revised Union Version

9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;

Tazama sura Nakili




Yohana 16:9
18 Marejeleo ya Msalaba  

Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.


Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.


Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa.


ingawa hapo awali nilikuwa mtukanaji, mwenye kuudhi watu, mwenye ujeuri, lakini nilipata rehema kwa kuwa nilifanya hivyo kwa ujinga, na kwa kutokuwa na imani.


Hadharini, ndugu zangu, usiwepo katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutoamini, ujitengao na Mungu aliye hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo