Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 16:6 - Swahili Revised Union Version

Ila kwa sababu nimewaambia hayo huzuni imejaa mioyoni mwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa kuwa nimewaambieni mambo hayo mmejaa huzuni mioyoni mwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa kuwa nimewaambieni mambo hayo mmejaa huzuni mioyoni mwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa kuwa nimewaambieni mambo hayo mmejaa huzuni mioyoni mwenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa sababu nimewaambia mambo haya, mioyo yenu imejawa na huzuni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa sababu nimewaambia mambo haya, mioyo yenu imejawa na huzuni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ila kwa sababu nimewaambia hayo huzuni imejaa mioyoni mwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 16:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Alipoondoka katika kuomba kwake, akawajia wanafunzi wake, akawakuta wamelala usingizi kwa huzuni.


Akawaambia, Ni maneno gani haya mnayosemezana hivi mnapotembea? Wakasimama wamekunja nyuso zao.


Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.