Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 16:12 - Swahili Revised Union Version

Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 16:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulisikia;


Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana anakuja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.


kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.


Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.


wale aliojidhihirisha kwao kuwa yu hai, kwa dalili nyingi, baada ya kuteswa kwake, akiwatokea muda wa siku arubaini, na kuyanena mambo yaliyouhusu ufalme wa Mungu.