Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 16:12 - Swahili Revised Union Version

12 Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 “Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 “Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 “Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulisikia;


Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana anakuja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.


kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.


Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.


wale aliojidhihirisha kwao kuwa yu hai, kwa dalili nyingi, baada ya kuteswa kwake, akiwatokea muda wa siku arubaini, na kuyanena mambo yaliyouhusu ufalme wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo