Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 14:8 - Swahili Revised Union Version

Filipo akamwambia, Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, na hiyo itatutosha.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba yako yatosha.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Filipo akamwambia, Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 14:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye humwomba Mungu, naye akamtakabalia; Hata auone uso wake kwa furaha; Naye humrejeshea mtu haki yake.


Bali mimi nikutazame uso wako katika haki, Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.


Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako.


Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.


Nathanaeli akamwambia, Umepataje kunitambua? Yesu akajibu, akamwambia, Kabla Filipo hajakuita, ulipokuwapo chini ya mtini nilikuona.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.