Yohana 14:7 - Swahili Revised Union Version7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Ikiwa mnanijua mimi, mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, mnamjua, tena mmekwisha mwona.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Ikiwa mnanijua mimi, mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, mnamjua, tena mmekwisha mwona.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Ikiwa mnanijua mimi, mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, mnamjua, tena mmekwisha mwona.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba pia. Tangu sasa mnamjua Baba yangu, tena mmemwona.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba pia. Tangu sasa, mnamjua Baba yangu, tena mmemwona.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona. Tazama sura |