Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 14:8 - Swahili Revised Union Version

8 Filipo akamwambia, Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, na hiyo itatutosha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba yako yatosha.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Filipo akamwambia, Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha.

Tazama sura Nakili




Yohana 14:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye humwomba Mungu, naye akamtakabalia; Hata auone uso wake kwa furaha; Naye humrejeshea mtu haki yake.


Bali mimi nikutazame uso wako katika haki, Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.


Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako.


Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.


Nathanaeli akamwambia, Umepataje kunitambua? Yesu akajibu, akamwambia, Kabla Filipo hajakuita, ulipokuwapo chini ya mtini nilikuona.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo