Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 14:5 - Swahili Revised Union Version

Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi tunaijuaje njia?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakoenda, tutaijuaje njia?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi tunaijuaje njia?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 14:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo;


Akawajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, nikae nanyi hadi lini? Nichukuliane nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.


Akawaambia, Enyi msiofahamu, wenye mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii!


Basi Tomaso, aitwaye Pacha, akawaambia wanafunzi wenziwe, Twendeni na sisi, ili tufe pamoja naye.


Nami niendako mwaijua njia.


Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.


Lakini sasa mimi naenda zangu kwake yeye aliyenituma, wala hakuna mmoja wenu aniulizaye, Unakwenda wapi?