Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 14:5 - Swahili Revised Union Version

5 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi tunaijuaje njia?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakoenda, tutaijuaje njia?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi tunaijuaje njia?

Tazama sura Nakili




Yohana 14:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo;


Akawajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, nikae nanyi hadi lini? Nichukuliane nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.


Akawaambia, Enyi msiofahamu, wenye mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii!


Basi Tomaso, aitwaye Pacha, akawaambia wanafunzi wenziwe, Twendeni na sisi, ili tufe pamoja naye.


Nami niendako mwaijua njia.


Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.


Lakini sasa mimi naenda zangu kwake yeye aliyenituma, wala hakuna mmoja wenu aniulizaye, Unakwenda wapi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo