Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 14:25 - Swahili Revised Union Version

Hayo ndiyo niliyowaambia wakati nilipokuwa nikikaa kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Nimewaambia mambo haya yote wakati bado niko pamoja nanyi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Nimewaambia mambo haya yote wakati bado niko pamoja nanyi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hayo ndiyo niliyowaambia wakati nilipokuwa nikikaa kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 14:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tangu sasa nawaambia kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa mimi ndiye.


Mtu asiyenipenda, yeye hayashiki maneno yangu; nalo neno mnalolisikia silo langu, ila ni lake Baba aliyenituma.


Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.


Na sasa nimewaambia kabla halijatokea, ili litakapotokea mpate kuamini.


Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.


Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.