Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 14:25 - Swahili Revised Union Version

25 Hayo ndiyo niliyowaambia wakati nilipokuwa nikikaa kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 “Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 “Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 “Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 “Nimewaambia mambo haya yote wakati bado niko pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 “Nimewaambia mambo haya yote wakati bado niko pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Hayo ndiyo niliyowaambia wakati nilipokuwa nikikaa kwenu.

Tazama sura Nakili




Yohana 14:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tangu sasa nawaambia kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa mimi ndiye.


Mtu asiyenipenda, yeye hayashiki maneno yangu; nalo neno mnalolisikia silo langu, ila ni lake Baba aliyenituma.


Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.


Na sasa nimewaambia kabla halijatokea, ili litakapotokea mpate kuamini.


Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.


Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo