Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 13:6 - Swahili Revised Union Version

Akamfikia Simoni Petro. Huyo akamwambia, Bwana! Wewe waniosha miguu mimi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akamfikia Simoni Petro; naye Petro akasema, “Bwana, wewe utaniosha miguu mimi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akamfikia Simoni Petro; naye Petro akasema, “Bwana, wewe utaniosha miguu mimi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akamfikia Simoni Petro; naye Petro akasema, “Bwana, wewe utaniosha miguu mimi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipomfikia Simoni Petro, Petro akamwambia, “Bwana, je, wewe utaninawisha mimi miguu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipomfikia Simoni Petro, Petro akamwambia, “Bwana, je, wewe utaninawisha mimi miguu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamfikia Simoni Petro. Huyo akamwambia, Bwana! Wewe waniosha miguu mimi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 13:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini mbele ya Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.


Ndiye yule ajaye nyuma yangu, ambaye mimi sistahili kuilegeza kamba ya kiatu chake.


Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi miguu, na kuifuta kwa kile kitambaa alichojifunga.


Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.