Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:5 - Swahili Revised Union Version

Naye Yesu alimpenda Martha na dada yake na Lazaro.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa aliwapenda Martha, Mariamu na Lazaro ndugu yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pamoja na hivyo, ingawa Isa aliwapenda Martha, Maria na Lazaro ndugu yao,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Yesu alimpenda Martha na dada yake na Lazaro.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa katika kuenda kwao aliingia katika kijiji kimoja; mwanamke mmoja jina lake Martha akamkaribisha nyumbani kwake.


Lakini Martha alikuwa akihangaika kwa utumishi mwingi; akamwendea, akasema, Bwana, huoni vibaya hivyo dada yangu alivyoniacha nifanye kazi peke yangu? Basi mwambie anisaidie.


Bwana akajibu akamwambia, Martha, Martha, unasumbuka na kufadhaika kwa ajili ya vitu vingi;


Basi mtu mmoja alikuwa mgonjwa, Lazaro wa Bethania, mwenyeji wa mji wa Mariamu na Martha, dada yake.


Basi wale dada wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye ni mgonjwa.


Basi Wayahudi wakasema, Angalieni jinsi alivyompenda.


Basi aliposikia ya kwamba ni mgonjwa, bado alikaa siku mbili pale pale alipokuwapo.


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?


kwa maana Baba mwenyewe awapenda kwa kuwa ninyi mmenipenda mimi, na kusadiki ya kwamba mimi nilitoka kwa Baba.


Nami niliwajulisha jina lako, tena nitawajulisha hilo; ili pendo lile ulilonipenda mimi liwe ndani yao, nami niwe ndani yao.