Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:5 - Swahili Revised Union Version

5 Naye Yesu alimpenda Martha na dada yake na Lazaro.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Isa aliwapenda Martha, Mariamu na Lazaro ndugu yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Pamoja na hivyo, ingawa Isa aliwapenda Martha, Maria na Lazaro ndugu yao,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Naye Yesu alimpenda Martha na dada yake na Lazaro.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa katika kuenda kwao aliingia katika kijiji kimoja; mwanamke mmoja jina lake Martha akamkaribisha nyumbani kwake.


Lakini Martha alikuwa akihangaika kwa utumishi mwingi; akamwendea, akasema, Bwana, huoni vibaya hivyo dada yangu alivyoniacha nifanye kazi peke yangu? Basi mwambie anisaidie.


Bwana akajibu akamwambia, Martha, Martha, unasumbuka na kufadhaika kwa ajili ya vitu vingi;


Basi mtu mmoja alikuwa mgonjwa, Lazaro wa Bethania, mwenyeji wa mji wa Mariamu na Martha, dada yake.


Basi wale dada wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye ni mgonjwa.


Basi Wayahudi wakasema, Angalieni jinsi alivyompenda.


Basi aliposikia ya kwamba ni mgonjwa, bado alikaa siku mbili pale pale alipokuwapo.


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?


kwa maana Baba mwenyewe awapenda kwa kuwa ninyi mmenipenda mimi, na kusadiki ya kwamba mimi nilitoka kwa Baba.


Nami niliwajulisha jina lako, tena nitawajulisha hilo; ili pendo lile ulilonipenda mimi liwe ndani yao, nami niwe ndani yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo