Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:14 - Swahili Revised Union Version

Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Isa akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Isa akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.


Basi Wayahudi walimzunguka, wakamwambia, Hata lini utatuhangaisha nafsi zetu? Kama wewe ndiwe Kristo, utuambie waziwazi.


Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi.


Nami nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini; lakini na twendeni kwake.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.


Basi wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni mithali yoyote.