Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:13 - Swahili Revised Union Version

13 Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Hata hivyo, Isa alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Hata hivyo, Isa alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu.


Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.


Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.


Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo