Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wanafunzi wakamwambia, “Bwana Isa, kama amelala usingizi ataamka.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.


Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo