Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:31 - Swahili Revised Union Version

Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa mara nyingine Wayahudi wakainua mawe ili wampige nayo,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa mara nyingine Wayahudi wakainua mawe ili wampige nayo,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:31
13 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akamlilia BWANA, akisema, Niwatendee nini watu hawa? Bado kidogo nao watanipiga kwa mawe.


Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Wale wakulima wakawakamata watumwa wake, huyu wakampiga, na huyu wakamwua, na huyu wakampiga kwa mawe.


hivyo ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habili, yule mwenye haki, hata damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemwua kati ya patakatifu na madhabahu.


Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani?


Basi Wayahudi walimzunguka, wakamwambia, Hata lini utatuhangaisha nafsi zetu? Kama wewe ndiwe Kristo, utuambie waziwazi.


Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?


Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu. Basi Yesu akajibu, akawaambia, Amin, amin, nawaambia,


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua;


Naye Daudi akafadhaika sana; kwa sababu watu walikuwa wakisema kwamba apigwe kwa mawe, kwa maana hao watu wote walisononeka, kila mtu kwa ajili ya wanawe na binti zake; lakini Daudi alijitia nguvu katika BWANA, Mungu wake.