Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:26 - Swahili Revised Union Version

Lakini ninyi hamsadiki, kwa sababu hammo miongoni mwa kondoo wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini nyinyi hamsadiki kwa sababu nyinyi si kondoo wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini nyinyi hamsadiki kwa sababu nyinyi si kondoo wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini nyinyi hamsadiki kwa sababu nyinyi si kondoo wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini hamwamini, kwa sababu ninyi si wa kundi la kondoo wangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini hamwamini, kwa sababu ninyi si wa kundi la kondoo wangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini ninyi hamsadiki, kwa sababu hammo miongoni mwa kondoo wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.


Naye awatoapo nje kondoo wake wote, huwatangulia; na wale kondoo humfuata, kwa maana waijua sauti yake.


Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala yeyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.


Akasema, Kwa sababu hiyo nimewaambia ya kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba yangu.


Yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu; hivyo ninyi hamsikii kwa sababu ninyi si wa Mungu.


Sisi tunatokana na Mungu. Yeye amjuaye Mungu atusikia; yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili tunamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu.