Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:19 - Swahili Revised Union Version

Kukawa na utengano tena kati ya Wayahudi, kwa ajili ya maneno hayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waliposikia maneno haya, Wayahudi wakagawanyika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maneno haya Wayahudi waligawanyika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kukawa na utengano tena kati ya Wayahudi, kwa ajili ya maneno hayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Wayahudi walishindana wao kwa wao wakisema, Awezaje mtu huyu kutupa sisi mwili wake ili tuule?


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


Lakini jamii ya watu wa mjini wakafarakana; hawa walikuwa upande wa Wayahudi, na hawa upande wa mitume.


Kwa maana kwanza mnapokutanika kanisani nasikia kuna migawanyiko kwenu; nami kwa kiasi fulani naamini;


kwa maana hata sasa ninyi ni watu wa tabia ya mwilini. Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je! Si watu wa tabia ya mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu?