Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 1:35 - Swahili Revised Union Version

Tena kesho yake Yohana alikuwa amesimama pamoja na wawili katika wanafunzi wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kesho yake, Yohane alikuwa tena mahali hapo pamoja na wanafunzi wake wawili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kesho yake, Yohane alikuwa tena mahali hapo pamoja na wanafunzi wake wawili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kesho yake, Yohane alikuwa tena mahali hapo pamoja na wanafunzi wake wawili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku iliyofuata, Yahya alikuwa huko tena pamoja na wanafunzi wake wawili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku iliyofuata, Yahya alikuwa huko tena pamoja na wanafunzi wake wawili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena kesho yake Yohana alikuwa amesimama pamoja na wawili katika wanafunzi wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 1:35
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wale waliomcha BWANA waliposemezana wao kwa wao. Naye BWANA akasikiliza, akasikia; na kitabu cha ukumbusho kikaandikwa mbele zake, kwa ajili ya hao waliomcha BWANA, na kulitafakari jina lake.


Kesho yake alimwona Yesu akija kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!


Kesho yake alitaka kuondoka kwenda Galilaya, naye akamwona Filipo. Yesu akamwambia, Nifuate.


Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko Kana, mji wa Galilaya; naye mama yake Yesu alikuwapo.