Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 1:24 - Swahili Revised Union Version

Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi walikuwa wametumwa watu kutoka kwa Mafarisayo,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi walikuwa wametumwa watu kutoka kwa Mafarisayo,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 1:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ewe Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nako kupate kuwa safi.


Alipotoka humo, Waandishi na Mafarisayo walianza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa maswali mengi,


Basi Mafarisayo, ambao wenyewe ni wapenda fedha, waliyasikia hayo yote, wakamdhihaki.


Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.


Akasema, Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani, Inyosheni njia ya Bwana! Kama vile alivyonena nabii Isaya.


Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?


Kwa maana Masadukayo husema ya kwamba hakuna kiyama wala malaika wala roho; bali Mafarisayo hukiri yote.


wakinijua sana tangu mwanzo, kama wakipenda kushuhudia, ya kwamba nilikuwa Farisayo kwa kuifuata madhehebu ya dini yetu iliyo sahihi kabisa.