Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:2 - Swahili Revised Union Version

Mtu akijaribu kuzungumza nawe, je! Utaona ni vibaya? Lakini ni nani awezaye kujizuia asinene?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Je, mtu akijaribu kukuambia neno utakasirika? Lakini nani awezaye kujizuia kusema?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Je, mtu akijaribu kukuambia neno utakasirika? Lakini nani awezaye kujizuia kusema?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Je, mtu akijaribu kukuambia neno utakasirika? Lakini nani awezaye kujizuia kusema?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kama mtu akithubutu kuzungumza nawe, kutakukasirisha? Lakini ni nani awezaye kujizuia asiseme?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kama mtu akithubutu kuzungumza nawe, kutakukasirisha? Lakini ni nani awezaye kujizuia asiseme?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu akijaribu kuzungumza nawe, je! Utaona ni vibaya? Lakini ni nani awezaye kujizuia asinene?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,


Nami nikisema, Sitamtaja, wala sitasema tena kwa jina lake; basi, ndipo moyoni mwangu kumekuwamo kama moto uwakao, uliofungwa ndani ya mifupa yangu, nami nimechoka kwa kustahimili, wala siwezi kujizuia.


Lakini nimejaa ghadhabu ya BWANA; nimechoka kwa kujizuia; imwageni juu ya watoto walio njiani, na juu ya kusanyiko la vijana pia; maana hata mume atatwaliwa pamoja na mkewe, mzee pamoja na yeye aliyetimiza siku zake.


maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.