Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 9:11 - Swahili Revised Union Version

Na nyama, na ngozi akaziteketeza nje ya kambi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini ile ngozi akaiteketeza kwa moto nje ya kambi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini ile ngozi akaiteketeza kwa moto nje ya kambi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini ile ngozi akaiteketeza kwa moto nje ya kambi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akateketeza nyama na ngozi nje ya kambi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akateketeza nyama na ngozi nje ya kambi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na nyama, na ngozi akaziteketeza nje ya kambi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 9:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha atamchukua huyo ng'ombe nje ya kambi, na kumteketeza vile vile kama alivyomteketeza ng'ombe wa kwanza; ni sadaka ya dhambi kwa ajili ya mkutano.


Lakini huyo ng'ombe mwenyewe, na ngozi yake, na nyama yake, na mavi yake, akaviteketeza nje ya kambi; vile vile kama BWANA alivyomwagiza Musa.


lakini mafuta, na figo, na kitambi kilichotoka katika ini ya hiyo sadaka ya dhambi, akaviteketeza juu ya madhabahu, kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Naye akaichinja sadaka ya kuteketezwa; na wanawe Haruni wakamsogezea ile damu, naye akainyunyiza katika madhabahu pande zote.